Monday, February 1, 2016
Tuesday, August 18, 2015
Wednesday, April 8, 2015
NEW PRODUCT AND AFFORDABLE AT KANJARA ENTERPRIZES
1:16 AM
KANJARA ENTERPRIZE
No comments
Get Glue (Touch fix) the only quality and affordable at Kanjara Enterprises. Available for 700 /= TSH only.
Get new version compass with calculator for the price you can afford. Available for 4,000/= TSH
HB pencil with good outlook for better drawing and readable writing.
Office glue of different sizes and price foundl only in our office
Notebook of high quality with hard cover, makes your writing to be seen well and attracting the reader.
TABIA 5 ZA WATU WALIOFANIKIWA- a book written by competent and experienced consultant from True Maisha Consultancy by Erick Crispin. Affordable for 10,000/=TSH only at Kanjara Enterprize in Mwanza, Nyakato Opposite Nundu Primary School.
A geography book writen by Johanes Bigirwamungu in collaboration with Odilo geography consultant. It is for O -level students and review for students in form five and six. Available for 14,000/=TSH only.
Lamination services of high quality is done here by using the most advanced and classic lamination machine.
Very Motivational book for those who wants to become successful entrepreneurs. It is written by a experienced business consultant -Dale Carnegie. Available for 15,000/=TSH
PHOTOCOPY SERVICES ARE DONE HERE. We use a classic, quality machine with high speed. It maintain the originality of the paper even if it is photocopied. Affordable price is only at Kanjara Enterprizes.
Spiral binding is among of the new service of high quality in our office .
Get new version compass with calculator for the price you can afford. Available for 4,000/= TSH
HB pencil with good outlook for better drawing and readable writing.
Office glue of different sizes and price foundl only in our office
Notebook of high quality with hard cover, makes your writing to be seen well and attracting the reader.
TABIA 5 ZA WATU WALIOFANIKIWA- a book written by competent and experienced consultant from True Maisha Consultancy by Erick Crispin. Affordable for 10,000/=TSH only at Kanjara Enterprize in Mwanza, Nyakato Opposite Nundu Primary School.
A geography book writen by Johanes Bigirwamungu in collaboration with Odilo geography consultant. It is for O -level students and review for students in form five and six. Available for 14,000/=TSH only.
Lamination services of high quality is done here by using the most advanced and classic lamination machine.
Very Motivational book for those who wants to become successful entrepreneurs. It is written by a experienced business consultant -Dale Carnegie. Available for 15,000/=TSH
PHOTOCOPY SERVICES ARE DONE HERE. We use a classic, quality machine with high speed. It maintain the originality of the paper even if it is photocopied. Affordable price is only at Kanjara Enterprizes.
Spiral binding is among of the new service of high quality in our office .
Thursday, December 18, 2014
MWONGOZO WA KUANDIKA KATIBA YA KIKUNDI
1:04 AM
KANJARA ENTERPRIZE
30 comments
FOMATI YA KUANDAA KATIBA ZA
VIKUNDI
SEHEMU YA KWANZA
1. UTANGULIZI
Sehemu hii huonyesha
jina la kikundi, mahali kitakapofanyia shughuli zake na nafasi ya
kikundi kama kitakuwa cha kisiasa, kujiinua kiuchumi, hakitafungamana na chama
au imani yoyote na haina ya shughuli zitakazofanywa na kikundi.
SEHEMU YA PILI
2. DIRA, LENGO KUU, MALENGO MAHUSUSI YA
KIKUNDI NA SHUGHULI ZA KIKUNDI
Katika sehemu hii kikundi hufafanua na kujipambanua kuhusu
malengo ya kikundi.
·
Dira ni
ndoto za kikundi kwa baadae .Ni maono ya kikundi kwa baadae katika
kufikia malengo yaliyokusudiwa kwa wanachama.
·
Lengo kuu ni kile ambacho kikundi kinataka kufikia na ili kufikia lengo kuu
lazima kuwepo na malengo mahususi yanayopelekea kufikiwa kwa lengo kuu.
·
Malengo mahususi : ni mambo ambayo yanatarajiwa kufikiwa kutokana
na shughuli zilizopangwa ili kufikia lengo kuu. Malengo mahususi huwa ni
mwongozo wa tathimini kuhusu mwelekeo wa kikundi.
·
Shughuli : ni mambo ambayo utekelezwa na
wanakikundi ili kuweza kufikia malengo mahususi hatimaye kufikia lengo kuu.
Utekelezaji wa shughuli ndani ya kikundi hutegemea malengo mahususi ambayo
kikundi kimejiwekea.
SEHEMU YA TATU
3. UANACHAMA , HAKI NA WAJIBU WA MWANAKIKUNDI
·
Katika sehemu hii kikundi hubainisha taratibu za
kujiunga na kikundi, sifa za mwanakikundi na ukomo wa uanachama.
·
Pia katika shemu hii haki na wajibu wa
mwanachama huonyeshwa.
SEHEMU YA NNE
4. USIMAMIZI WA MAPATO NA MALI NYINGINE ZA
KIKUNDI
·
Usimamizi wa fedha za kikundi huwekwa wazi ili
kuondoa migongano ambayo inaweza kujitokeza wakati wa utekelezaji wa majukumu
ya kikundi.
·
Kwenye katiba inaweza kuandikwa kuwa kikundi kitakuwa na akaunti maalumu
ambayoitatumia jina la kikundi na aina ya benki itategemea maamuzi ya
wanakikundi kupitia mkutano mkuu.
·
Pia kikundi
huchagua watia saini wanne ambao hutoka kwenye makundi mawili. Kundi A
huwa na watu wawili kutoka upande wa uongozi na kundi B huwa na wajumbe wawili
ambao hawana nafasi ya uongozi kwenye kikundi.
SEHEMU YA TANO
5. UONGOZI NA USIMAMIZI WA KIKUNDI
·
Nafasi za uongozi katika kikundi ni mwenyekiti,
mwenyekiti msaidizi, katibu na mweka hazina
·
Sifa na majukumu ya kila
kiongozi yaanishwe ili wanakikundi waweze kuchagua kiongozi atakayesimamia vema
kikundi. Katika hili wanakikundi wahakikishe wanachagua viongozi kwa kufuata
sifa walizoanisha pasiwepo na upendeleo wowote kwani wasipofanya hivi kikundi
kitasambaratika kwa muda mfupi.
·
Wanakikundi waanishe uchaguzi wa viongozi
utafanyika baada ya mda gani kwa vipindi vingapi
·
Wanakiundi waainishe mambo mengine
wanayofikiri yatasaidia kikundi katika
kipengere cha viongozi
·
Idadi ya wajumbe au wanakikundi watakaopiga
kura.
·
Kamati mbalimbali.
SEHEMU YA SITA
6. MIKUTANO YA KIKUNDI
·
Kuna mikutano ya aina tatu
Ø
Mkutano mkuu wa mwaka unaofanyika mwishoni mwa
mwaka kutegemea na mwisho wa mwaka wa kikundi kutegemea mapendekezo ya
wanakikundi.
Ø
Mkutano wa kawaida huu utategemea pia
makubaliano yawanakikundi mf. Yaweza kuwa kwa wiki mara moja, kwa mwezi mara
moja au kwa miezi mitatu mara moja.
Ø
Mkutano wa dharura mkutano huu unategemea
dharura itakayojitokeza miongoni mwa
wanakikundi na unaweza kuitishwa wakati wowote kutegemea umuhimu wa jambo
husika.
·
Wajumbe wa mikutano hii ni wanakikundi wa kikundi husika
·
Maamuzi ya mkutano yatakua sahihi endapo
yatakubaliwa na nusu ya wanakikundi na
zaidi.
SEHEMU YA SABA
7. MICHANGO NA MAPATO YA KIKUNDI
·
Kuna vyanzo tofauti vya mapato ya kikundi
a.
Michango ya kila mwezi au wiki kutegemea makubaliano ya mkutano mkuu.
b.
Faini kutoka kwa wanakikundi wanaokiuka taratibu
kama kuchelewa au kutohudhuria kwenye
mkutano.
c.
Misaada kwa wadau mbalimbali wenye nia njema na kikuu.
SEHEMU YA NANE
8. MEREKEBISHO YA KATIBA
·
Katika uandishi wa katiba ya kikundi ni vyema
kuwepo kipengele kinachoruhusu
marekebisho ya katiba pale inapobidi. Misingi yakubadilisha kipengele chochote lazima
iwekwe vizuri ili iweze kufahamika kwa kika mwanakikundi. Mfano kinaweza kuandikwa; Kifungu chochote
kinaweza kufanyiwa marekebisho kwa
kutegemea maamuzi ya mkutano mkuu na hoja ya mabadiliko itatoka kwa mtu ambaye
ni mwanakikundi hai.
SEHEMU YA TISA
9. KUVUNJIKA KWA KIKUNDI
·
Mara nyingi
lengo la kikundi ni kuwa endelevu, kwa hiyo kwenye katiba ni vizuri
kuandikwa kwa hivi, kikundi hakitavunjika isipokuwa kwa sababu ya msingi au kama ni agizo la
sheria za nchi.
·
Endapo kikundi kitavunjwa mali zote na madeni ya
kikundi yatagawiwa kwa wanakikundi wote.
SEHEMU YA TISA
10. KUPITISHWA KWA KATIBA
·
Katiba hii ya kikundi cha ……………….. ya mwaka
imepitishwa siku ya tarehe ……….mwezi wa …… mwaka na wajumbe ambao majina na sahihi zao
zinaonekana chini.
Sahihi………………….. Sahihi ………………….
Jina
la mwenyekiti…………
Jina la katibu…………….
MWENYEKITI KATIBU
S/N
|
JINA
|
CHEO
|
SAHIHI
|
1.
|
|
|
|
2.
|
|
|
|
3.
|
|
|
|
4.
|
|
|
|
5.
|
|
|
|
6.
|
|
|
|
7.
|
|
|
|
8.
|
|
|
|
9.
|
|
|
|
10.
|
|
|
|
11.
|
|
|
|
12.
|
|
|
|
13.
|
|
|
|
14.
|
|
|
|
15.
|
|
|
|
16.
|
|
|
|
17.
|
|
|
|
18.
|
|
|
|
19.
|
|
|
|
20.
|
|
|
|
21.
|
|
|
|